TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA - MAJINA YA NYONGEZA (27-09-2025)

INTERVIEW_CALLSeptember 30, 2025
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba yaChuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), MDAs & LGAs, Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR), Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 30/09/2025 hadi 24/10/2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo

Attachments

Main Attachment

External file link